
>>>’wanachama
mbalimbali na viongozi kutoka kanda hii walifika nyumbani kwangu kama
mara tatu na baadae tukakutana sehemu nyingine wakiniomba nigombee
nafasi hii na wamenishwishi nimekubali na baadae jana wakasema wao ndio
watakaoniletea fomu, nikaijaza na leo nimeirudisha’
Nafasi zingine za uongozi ambazo zipo
wazi ni makamu mwenyekiti ambapo watu watatu wamejitokeza kugombea
nafasi hiyo akiwemo Saed Kubenea, nafasi ya mwekahazina wagombea watatu
wamejitokeza akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa kazi na ajira wa serikali
ya awamu ya nne, Makongoro Mahanga.
0 comments:
Post a Comment